Mkopo wa Green Bond
Maelezo
Green Bond (Kijani Bond Loan) inalenga kutoa mikopo kwenye miradi au biashara zinazozingatia na kuleta matokeo Chanya kwenye mazingira au katika kukabiliana na athari za uharibifu za mazingira.
Green Bond (Kijani Bond Loan) inalenga kutoa mikopo kwenye miradi au biashara zinazozingatia na kuleta matokeo Chanya kwenye mazingira au katika kukabiliana na athari za uharibifu za mazingira.
Miradi ya Kijani inajumuisha biashara na shughuli zinazochangia uhifadhi wa mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali. Miradi inayostahili kupatiwa fedha za Kijani Bond ni pamoja na:
• Nishati Jadidifu: Uzalishaji, usambazaji na Manunuzi ya Vifaa vya mifumo wa Nishati ya Jua, Nishati ya Upepo, Nishati ya Maji, Nishati ya jotoardhi.
• Kilimo Endelevu: Kilimo chenye cheti cha uthibitisho wa kilimo endelevu. Mfano: Cheti cha Africert, Ecocert, n.k). Kilimo hifadhi, Ufugaji samaki kwenye mabwawa/vizimba.
• Usafiri Safi: Uwekezaji katika vyombo vya usafiri vizivyozalisha hewa ukaa kama Magari, Bajaji na Pikipiki za Umeme, pamoja na miundombinu yake.
• Urejeshwaji taka: Uwekezaji katika teknolojia na mifumo ya kurejesha taka kwa matumizi mapya ili kupunguza uchafuzi wa mazingira.
• Majengo Endelevu: Ujenzi au ununuzi wa majengo Kijani yenye cheti cha uthibitisho (majengo yanayozingatia matumizi bora ya Maji, Nishati na vifaa vilivyotumika kulijenga), rafiki kwa mazingira yanayotumia ketnolojia ya kuokoa Nishati na maji.
• Nishati sanifu: Teknolojia na vifaa vinavyopunguza matumizi ya Nishati kama mifumo ya taa bora (LED), vifaa vya kupooza/kuongeza joto matumizi madogo ya Nishati.
• Uzalishaji na usambazaji endelevu wa maji safi na salama na usimamizi wa maji taka.
Mtu binafsi, kampuni, au mmiliki yeyote binafsi na taasisi nyingine yoyote inayotambulika kisheria iliyo na mradi wa kijani /pendekezo la biashara inaweza kutuma maombi ya mkopo wa bondi ya kijani kulingana na sera ya mikopo ya benki.
Mkopo wa Kijani Bond utatumika kwa kutuma maombi rasmi kupitia tawi lolote la mtandao wa benki ya CRDB nchini kote. Michakato mingine ya kawaida ya ukopeshaji ikijumuisha mchakato wa tathmini na uidhinishaji wa benki utatumika.
Inategemea na madhumuni ya mkopo.
Tembelea tawi la Benki ya CRDB au Wakala Tupigie
Bure: 0800 008 000 au +255 755 197 700 au tuandikie
barua pepe: [email protected]
Unaweza kupendezwa na
Mkopo wa SME Bidii
Hii ni bidhaa iliyobuniwa kumuwezesha mfanyabiasha mdogo na mfanyabiashara wa kati kuweza kukidhi mahitaji yao ya mtaji wa uwekezaji.
Mkopo wa Malkia
Pendekezo la CRDB Malkia ni kifurushi cha bidhaa na huduma zilizopo za benki zilizounganishwa pamoja na kulengwa katika kuimarisha ufikiaji wa wanawake wa huduma za kifedha na zisizo za kifedha.
MSE Loans
These are small ticket facilities issued to formal and informal micro and small enterprises with target to grow and expand small and sustainable business.
Mkopo wa Komboa
Komboa mizigo yako iliyokwama bandarini na uendelee na biashara yako kupitia Mkopo wa CRDB Bank Komboa.
MSE Asset Financing
Is a financing solution extended to MSE customers to finance acquisition of business vehicles.
Overdraft Facilities
The Overdraft Facility gives entrepreneurs financial flexibility to allow businesses to meet working capital needs.
Local Purchase Order Finance
Short-term transaction-based loan used to improve customer’s business
Invoice Discounting Finance
IDF allows SME businesses to borrow funds against confirmed unpaid invoices
Certificate Discounting Finance
CDF allows SME customers to borrow funds against unpaid Certificates
SME Asset Financing
Is a financing solution extended to customers to finance investments in specific assets.
Investment Financing
These are loans for acquisition of items that are used for investment purposes
TACATDP
Mkopo nafuu kwa Teknolojia na Mbinu za kilimo cha mazao ya chakula zinazozingatia utunzaji endelevu wa mazingira